Tarehe 5 Disemba ni siku ya kihistoria kwa wapenzi wa soka Duniani baada ya Fifa kukamilisha upangazji wa tmakundi ya timu 48 zitakazoshiriki michuano hiyo nchini Marekani mwaka 2026. Jumla ya makundi 12 yenye timu 4 kila moja yaliwekwa hadharani na sasa mashabiki wa soka ulimwenguni kote wanasubiri kwa hamu michuano hiyo mikubwa zaidi Duniani.
Makundi hayo ni
Mexico, South Africa, South Korea, a qualifier
Group B
Canada, a qualifier, Qatar, Switzerland
Group C
Brazil, Morocco, Haiti, Scotland
Group D
United States, Paraguay, Australia, a qualifier
Group E
Germany, Curacao, Ivory Coast, Ecuador
Group F
Netherlands, Japan, a qualifier, Tunisia
Group G
Belgium, Egypt, Iran, New Zealand
Group H
Spain, Cape Verde, Saudi Arabia, Uruguay
Group I
France, Senegal, qualifier, Norway
Group J
Argentina, Algeria, Austria, Jordan
Group K
Portugal, a qualifier, Uzbekistan, Colombia
Group L
England, Croatia, Ghana, Panama
Sambamba na tukio hilo la upangaji makundi ,shirikisho la soka Ulimwenguni FIFA lilitoa tuzo ya Heshima kwa Rais wa Marekani Donald Trump kwa kutambua mchango wake katika kuhamasisha amani Duniani.


0 Comments