TETESI ZA USAJILI DUNIANI LEO DISEMBA 16,2025

Manchester City inapanga kumsajili beki wa Crystal Palace Muingereza Marc Guehi, 25, kwa lengo kuimarisha safu yao ya ulinzi msimu ujao. (Times - usajili unahitajika)

Klabu za Manchester City, Manchester United na Chelsea zinamfuatilia winga wa Colombia Daniel Munoz lakini Crystal Palace haina nia ya kumuuza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29. (Caught Offside)

Manchester United itajaribu kumsajili kiungo wa kati wa Atletico Madrid na Muingereza Conor Gallagher, 25, wakati wa uhamisho wa wachezaji wa Januari. (Team talk)

Post a Comment

0 Comments